M’bilia Bel – Paka Wewe + {Video & Lyrics}
Paka Wewe by M’bilia Bel Mp3 Download
Download this track from M’bilia Bel titled Paka Wewe. M’bilia Bel is a rumba and world music singer from the Democratic Republic of the Congo. She is known as the “Queen of Congolese and African Rumba
Use the link below to stream and download the song
Lyrics Of Paka Wewe by M’bilia Bel
Sikiliza mfano wako papa
Sikiliza mfano wako eh Sitowe mbele ya watu papa Sitowe mbele ya watu ehSababu gani eh natoa makuta
Sababu gani eh nashinda sipansio papaSiwezi kuiba papa juu yako eh
Siwezi kuiba papa juu ya sifa yakoLeo hii aya ni yako unikane mimi paka na wewe
Sababu niko na wewe papa ndio nateseleshwa Kama sikuwa na wewe papa nisinge teseleshwa ehWabwana wananitamani mimi sitaki
Tokea tangu zamani ujanipatia kituWabwana wananitamaini mimi sitaki
Tokea tangu zamani ujanipatia kituLeo hii aya ni yako unikane mimi paka na wewe
Sababu Niko na wewe papa ndio nateseleshwa Kama sikuwa na wewe papa nisinge teseleshwa ehWabwana wananitamani Mimi sitaki
Tokea tangu zamani ujanipatia kituWabwana wananitamaini Mimi sitaki
Tokea tangu zamani ujanipatia kituOh dada mapenzi ya fedha dada ni sifa kweli
Kwa mbele ya wandugu na dada nafamilia yoteLakini mapenzi ya fedha si yakweli mama, dada sikiliza mama oh
Ulijua dada mimi masikini nakutongoza dada wewe mtajiliKwa nini dada ukunikana mimi
Unanitesa bure oh mama oh mama oh dada oh dada oh dadaWaniumiza roho oh
Oh dada mapenzi ya fedha dada ni sifa kweli
Kwa mbele ya wandugu na dada nafamilia yoteLakini mapenzi ya pesa si ya kweli mama, dada sikiliza mama oh
Ulijua dada mimi masikini nakutongoza dada wewe mtajiliKwa nini dada ukunikana Mimi
Unanitesa bure oh mama oh dada oh dada oh dadaWaniumiza roho oh
Oh dada mapenzi ya fedha dada ni sifa kweli
Kwa mbele ya wandugu na dada nafamilia yoteLakini mapenzi ya fedha si yakweli mama, dada sikiliza mama oh
Ulijua dada mimi masikini nakutongoza dada wewe mtajiliKwa nini dada ukunikana mimi
Unanitesa bure oh mama oh dada oh dada oh dadaWaniumiza roho oh
Oh dada mapenzi ya fedha dada ni sifa kweli
Kwa mbele ya wandugu na dada nafamilia yoteLakini mapenzi ya fedha si yakweli mama, dada sikiliza mama oh
Ulijua dada mimi masikini nakutongoza dada wewe mtajiliKwa nini dada ukunikana Mimi
Unanitesa bure oh mama oh dada oh dada oh dadaWaniumiza roho oh
Oh dada mapenzi ya fedha dada ni sifa kweli
Kwa mbele ya wandugu na dada nafamilia yoteLakini mapenzi ya fedha si yakweli mama, dada sikiliza mama oh
Ulijua dada mimi masikini nakutongoza dada wewe mtajiliKwa nini dada ukunikana mimi
Unanitesa bure oh mama oh dada oh dada oh dadaWaniumiza roho oh